<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:itunes="http://www.itunes.com/dtds/podcast-1.0.dtd"
	>
<channel>
	<title>Comments on: Swahili Blogosphere: State of education in Tanzania,  M-Pesa and Open Source Movement in Kenya</title>
	<atom:link href="http://globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/</link>
	<description>The world is talking. Are you listening?</description>
	<lastBuildDate>Sun, 29 Nov 2009 14:49:29 -0500</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.8.4</generator>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<item>
		<title>By: kenyan piracy wars&#8230;ubuntu maybe? perhaps? &#171; eightzerofour</title>
		<link>http://globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/comment-page-1/#comment-1535088</link>
		<dc:creator>kenyan piracy wars&#8230;ubuntu maybe? perhaps? &#171; eightzerofour</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 28 Nov 2008 07:24:41 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/#comment-1535088</guid>
		<description>[...] Swahili Blogosphere: State of education in Tanzania, M-Pesa and Open Source Movement in Kenya [...]</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>[...] Swahili Blogosphere: State of education in Tanzania, M-Pesa and Open Source Movement in Kenya [...]</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Boycott Novell &#187; FUD Warning: Mirosoft Casts “GNU/Linux” as “Piracy”</title>
		<link>http://globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/comment-page-1/#comment-1511675</link>
		<dc:creator>Boycott Novell &#187; FUD Warning: Mirosoft Casts “GNU/Linux” as “Piracy”</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 06 Sep 2008 15:01:04 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/#comment-1511675</guid>
		<description>[...] [8] Swahili Blogosphere: State of education in Tanzania, M-Pesa and Open Source Movement in Kenya [...]</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>[...] [8] Swahili Blogosphere: State of education in Tanzania, M-Pesa and Open Source Movement in Kenya [...]</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Sidepage</title>
		<link>http://globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/comment-page-1/#comment-1192190</link>
		<dc:creator>Sidepage</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 16 Aug 2007 11:52:18 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/#comment-1192190</guid>
		<description>Kuna aliyeisikia SMS Salama? 

http://groups.google.com/group/sms-salama/web/introduction

&quot;Tuma na pokea SMS ukiwa na uhakika hakuna mmbea atakaye ichungulia&quot;</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kuna aliyeisikia SMS Salama? </p>
<p><a href="http://groups.google.com/group/sms-salama/web/introduction" rel="nofollow">http://groups.google.com/group/sms-salama/web/introduction</a></p>
<p>&#8220;Tuma na pokea SMS ukiwa na uhakika hakuna mmbea atakaye ichungulia&#8221;</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: mchiks2000</title>
		<link>http://globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/comment-page-1/#comment-1189165</link>
		<dc:creator>mchiks2000</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 23 Jul 2007 01:28:01 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/#comment-1189165</guid>
		<description>Shida ya Tanzania ina vyanzo vingi. Kwanza watanzania wanapaswa kuondokana na imani kwamba kuzaa watoto wengi ni mipango ya mungu; lazima serikali yetu ikazanie uzazi wa mpango badala ya kuacha watu wajizalie watoto kadri wanavyotaka hali ni masikini. Bila kukazia uzazi wa mpango, mtanzania kuweza kuchangia elimu ya chuo kikuu itabaki kuwa ndoto ya mchana na baya zaidi matatizo ta uhalifu na ukimwi yataendelea kutuandama siku hadi siku. Ni aibu kuona masikini wa tanzania akizaa watoto saba wakati bajeti yetu inachangiwa kwa asilimia 40 na mataifa ambayo watu wake wameijiwekea kikomo cha kuzaa watoto wawili. Viongozi wetu wawe imara kupambana na vyanzo vya maradhi badala ya kutibu dalili.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Shida ya Tanzania ina vyanzo vingi. Kwanza watanzania wanapaswa kuondokana na imani kwamba kuzaa watoto wengi ni mipango ya mungu; lazima serikali yetu ikazanie uzazi wa mpango badala ya kuacha watu wajizalie watoto kadri wanavyotaka hali ni masikini. Bila kukazia uzazi wa mpango, mtanzania kuweza kuchangia elimu ya chuo kikuu itabaki kuwa ndoto ya mchana na baya zaidi matatizo ta uhalifu na ukimwi yataendelea kutuandama siku hadi siku. Ni aibu kuona masikini wa tanzania akizaa watoto saba wakati bajeti yetu inachangiwa kwa asilimia 40 na mataifa ambayo watu wake wameijiwekea kikomo cha kuzaa watoto wawili. Viongozi wetu wawe imara kupambana na vyanzo vya maradhi badala ya kutibu dalili.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: dani mfungo</title>
		<link>http://globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/comment-page-1/#comment-1188583</link>
		<dc:creator>dani mfungo</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 18 Jul 2007 09:06:23 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/#comment-1188583</guid>
		<description>i cant belive even myself,at a celtain district at Tanzania known as Mpanda district,there are something which is not good happened to the people who live there.
To travel from one region to another it almost cost 9000 shillings of Tanzania which is equal to 8.4$ U.S.
But within one region of Rukwa where Mpanda is among of the  three district,from mpanda town to sumbawanga distict it cost almost 35000shillings of Tanzania which is approximatery 34.8$ of U.S which is a very  big amount to the people who live there because most of the people at mpanda depend on agricuture and per day income in less than 1$ U.S so this is very bad situation.
I would like to request the government of Tanzania to help there people of that district.
Just imagine by yourself from one region to another it cost 8.4$ U.S while within a region from one district to another it cost 34.8$ U.S which is enough to travel to four difference regions.
I thanks very much THE GOVERMENT OF TANZANIA for startig to prepare the road from Mpanda to Sumbawanga town.
I also request others componies and people to help for this.
am DANI MFUNGO
Email;dal_wisser@yahoo.com
Mob number;+255787473351</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>i cant belive even myself,at a celtain district at Tanzania known as Mpanda district,there are something which is not good happened to the people who live there.<br />
To travel from one region to another it almost cost 9000 shillings of Tanzania which is equal to 8.4$ U.S.<br />
But within one region of Rukwa where Mpanda is among of the  three district,from mpanda town to sumbawanga distict it cost almost 35000shillings of Tanzania which is approximatery 34.8$ of U.S which is a very  big amount to the people who live there because most of the people at mpanda depend on agricuture and per day income in less than 1$ U.S so this is very bad situation.<br />
I would like to request the government of Tanzania to help there people of that district.<br />
Just imagine by yourself from one region to another it cost 8.4$ U.S while within a region from one district to another it cost 34.8$ U.S which is enough to travel to four difference regions.<br />
I thanks very much THE GOVERMENT OF TANZANIA for startig to prepare the road from Mpanda to Sumbawanga town.<br />
I also request others componies and people to help for this.<br />
am DANI MFUNGO<br />
Email;dal_wisser@yahoo.com<br />
Mob number;+255787473351</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: edson kawe</title>
		<link>http://globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/comment-page-1/#comment-1187300</link>
		<dc:creator>edson kawe</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Jul 2007 08:27:12 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/#comment-1187300</guid>
		<description>in short my self i hate ccm(chama cha mapinduzi) tanzania</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>in short my self i hate ccm(chama cha mapinduzi) tanzania</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: dani mfungo</title>
		<link>http://globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/comment-page-1/#comment-1187299</link>
		<dc:creator>dani mfungo</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Jul 2007 08:23:08 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/#comment-1187299</guid>
		<description>mi naona mfumo wa siasa tanzania ndio chanzo cha mambo yote haya.kwani kauli za viongozi wa tanzania zimeigama kwenye chama kimoja,ndio maana hata hili suala la mikopo linashikiliwa sana na ccm.nimeona viongozi mbalimbali wa vyama vya upinzani wakiwalipia wanafunzi mahitaji ya shule ikiwemo ada ya shule.kwakweli nchi hii inaelekea kubaya maana kama asilimia 40 ya wanafunzi tukisomesha na vyama vya upinzani lazima hapo baadaye tukipinge chama kilichopo madarakani,na hii inaweza kusababisha mtafaruku katika nchi hii.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>mi naona mfumo wa siasa tanzania ndio chanzo cha mambo yote haya.kwani kauli za viongozi wa tanzania zimeigama kwenye chama kimoja,ndio maana hata hili suala la mikopo linashikiliwa sana na ccm.nimeona viongozi mbalimbali wa vyama vya upinzani wakiwalipia wanafunzi mahitaji ya shule ikiwemo ada ya shule.kwakweli nchi hii inaelekea kubaya maana kama asilimia 40 ya wanafunzi tukisomesha na vyama vya upinzani lazima hapo baadaye tukipinge chama kilichopo madarakani,na hii inaweza kusababisha mtafaruku katika nchi hii.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: leonida Tenga Paul</title>
		<link>http://globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/comment-page-1/#comment-1155064</link>
		<dc:creator>leonida Tenga Paul</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 23 May 2007 03:42:02 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/#comment-1155064</guid>
		<description>Ninakubaliana kabisa na wote waliotoa mawazo yao kwamba hakuna maana ya kuendelea kulaumu serikali yetu kwa tatizo hili kwa maana kuwa haisaidii kitu. Tatizo linapotokea kinachotakiwa ni kutafuta njia ya kulitatua na siyo kutafuta nani ana kosa. Ninakubaliana pia na mawazo kuwa wanafunzi wetu walio wengi hawawezi kulipa 800,000 hata wakipewa mwaka mzima. Ninaomba nimpongeze Raisi wetu kwa uamuzi wake wa busara wa kuwarudisha wanafunzi wote chuoni nadhani anafahamu matatizo yetu kuliko mimi. Ninachotaka kusema ni kwamba wambunge wetu wanatakiwa kuliona tatizo hili kama ni mzingo wao mkubwa sana na waubebe. Ni Ukweli usiofichika kuwa haitowezekana kuendelea kuwasomesha wanafunzi wote bure katika ngazi ya Elimu ya Juu kama tunataka maendeleo. Kwanza kabisa wazazi ni lazima waelimishwe na wafahamu kwamba ni jukumu na wajibu wao  kuwasaidia watoto wao kama dunia nzima inavyofanya sasa. Kwa kufanya hivyo tutakuwa tumepunguza uwingi wa wazazi wasiokuwa na uwezo kabisa wa kuwasomesha watoto wao. Baada ya hapo kuwe na mpamgo kabambe wa kuwasaidia wazazi kuboresha maisha yao ili waweze kuwasaidia watoto wao. Na mwisho lazima kuna wanafunzi watakaobaki ambao watatakiwa kupata msaada mpaka wamalize masomo yao. Wabunge wa Tanzania Wakumbuke tunatumia muda wetu mrefu sana kuwachagua. Wanachotakiwa kutulipa na kukutana na wananchi na kujua matatizo yao. Sitaki kuwalaumu Wabunge wetu bila ya kuwa na uhakika, lakini nadhani wao ndiyo wanaotakiwa kufanya kazi ya kupunguza hali ya mgomo wa Chuo kikuu cha Dar es salaam kwa kuwafahamu wanafunzi ambao wazazi wao wana uwezo wa kulipa na kiwango ambacho wanaweza kulipa  na wale ambao hawawezi kulipa katika majimbo yao na kushauri Uongozi wa Chuo Kikuu na Viongozi wa serikali inavyopaswa kuwa. Ushauri wangu wabunge wote wa Tanzania waende kwenye majimbo yao na wafanye uchambuzi wa uhakika wa uwezo wa kila mwananchi mwenye mtoto anayesoma katika Vyuo vikuu na kushauri Serikali na Uongozi wa Chuo Kikuu  ipasavyo. Na ninaishauri Serikali kuwa wahakikishe kila Mbunge awajibishwe itakapoonekana kuwa kuna matatizo katika uwajibikaji wake katika tatizo hili. Ni mategemeo yangu kuwa kwa kufanya hivi tunaweza tukatatua tatizo hili.
 
Leonida Tenga 
Mkuza Mitaala
Taasisi ya Elimu Tanzania.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ninakubaliana kabisa na wote waliotoa mawazo yao kwamba hakuna maana ya kuendelea kulaumu serikali yetu kwa tatizo hili kwa maana kuwa haisaidii kitu. Tatizo linapotokea kinachotakiwa ni kutafuta njia ya kulitatua na siyo kutafuta nani ana kosa. Ninakubaliana pia na mawazo kuwa wanafunzi wetu walio wengi hawawezi kulipa 800,000 hata wakipewa mwaka mzima. Ninaomba nimpongeze Raisi wetu kwa uamuzi wake wa busara wa kuwarudisha wanafunzi wote chuoni nadhani anafahamu matatizo yetu kuliko mimi. Ninachotaka kusema ni kwamba wambunge wetu wanatakiwa kuliona tatizo hili kama ni mzingo wao mkubwa sana na waubebe. Ni Ukweli usiofichika kuwa haitowezekana kuendelea kuwasomesha wanafunzi wote bure katika ngazi ya Elimu ya Juu kama tunataka maendeleo. Kwanza kabisa wazazi ni lazima waelimishwe na wafahamu kwamba ni jukumu na wajibu wao  kuwasaidia watoto wao kama dunia nzima inavyofanya sasa. Kwa kufanya hivyo tutakuwa tumepunguza uwingi wa wazazi wasiokuwa na uwezo kabisa wa kuwasomesha watoto wao. Baada ya hapo kuwe na mpamgo kabambe wa kuwasaidia wazazi kuboresha maisha yao ili waweze kuwasaidia watoto wao. Na mwisho lazima kuna wanafunzi watakaobaki ambao watatakiwa kupata msaada mpaka wamalize masomo yao. Wabunge wa Tanzania Wakumbuke tunatumia muda wetu mrefu sana kuwachagua. Wanachotakiwa kutulipa na kukutana na wananchi na kujua matatizo yao. Sitaki kuwalaumu Wabunge wetu bila ya kuwa na uhakika, lakini nadhani wao ndiyo wanaotakiwa kufanya kazi ya kupunguza hali ya mgomo wa Chuo kikuu cha Dar es salaam kwa kuwafahamu wanafunzi ambao wazazi wao wana uwezo wa kulipa na kiwango ambacho wanaweza kulipa  na wale ambao hawawezi kulipa katika majimbo yao na kushauri Uongozi wa Chuo Kikuu na Viongozi wa serikali inavyopaswa kuwa. Ushauri wangu wabunge wote wa Tanzania waende kwenye majimbo yao na wafanye uchambuzi wa uhakika wa uwezo wa kila mwananchi mwenye mtoto anayesoma katika Vyuo vikuu na kushauri Serikali na Uongozi wa Chuo Kikuu  ipasavyo. Na ninaishauri Serikali kuwa wahakikishe kila Mbunge awajibishwe itakapoonekana kuwa kuna matatizo katika uwajibikaji wake katika tatizo hili. Ni mategemeo yangu kuwa kwa kufanya hivi tunaweza tukatatua tatizo hili.</p>
<p>Leonida Tenga<br />
Mkuza Mitaala<br />
Taasisi ya Elimu Tanzania.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Charles Mwakambonja</title>
		<link>http://globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/comment-page-1/#comment-1092801</link>
		<dc:creator>Charles Mwakambonja</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 10 May 2007 07:18:11 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/#comment-1092801</guid>
		<description>If the cow has no milk you cannot continue mlking it.Sharing trining costs is part and parcel of the studnts parents/guardians.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>If the cow has no milk you cannot continue mlking it.Sharing trining costs is part and parcel of the studnts parents/guardians.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Jikomboe &#187; Blogu za Kiswahili Katika GV + Jahazi (Zana Mpya Toka Kenya)</title>
		<link>http://globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/comment-page-1/#comment-1087667</link>
		<dc:creator>Jikomboe &#187; Blogu za Kiswahili Katika GV + Jahazi (Zana Mpya Toka Kenya)</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 09 May 2007 01:58:26 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.globalvoicesonline.org/2007/05/06/swahili-blogosphere-state-of-education-in-tanzania-m-pesa-and-open-source-movement-in-kenya/#comment-1087667</guid>
		<description>[...] Muhtasari wa blogu za Kiswahili katika GV toka kwa Mwandani. Bonyeza hapa. &#8212;&#8212;- Muda mfupi uliopita nimepata taarifa toka kwa White African ya zana iliyoundwa na jirani zetui wa Kenya iitwayo Jahazi. Bonyeza hapa ujionee mwenyewe. Unajua zama za mapinduzi ya viwanda ulikuwa huwezi kushindana na &#8220;mzungu&#8221; maana mtaji uliohitajika wakati ule ulikuwa ni mkubwa, zama hivi za habari na mawasiliano, tunashikana mashati. Unachohitaji sana sana ni fikra na ubunifu. Jahazi imeundwa Kenya na inahifadhiwa Kenya.    &#160; [...]</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>[...] Muhtasari wa blogu za Kiswahili katika GV toka kwa Mwandani. Bonyeza hapa. &#8212;&#8212;- Muda mfupi uliopita nimepata taarifa toka kwa White African ya zana iliyoundwa na jirani zetui wa Kenya iitwayo Jahazi. Bonyeza hapa ujionee mwenyewe. Unajua zama za mapinduzi ya viwanda ulikuwa huwezi kushindana na &#8220;mzungu&#8221; maana mtaji uliohitajika wakati ule ulikuwa ni mkubwa, zama hivi za habari na mawasiliano, tunashikana mashati. Unachohitaji sana sana ni fikra na ubunifu. Jahazi imeundwa Kenya na inahifadhiwa Kenya.    &nbsp; [...]</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>
